ITS ALL ABOUT ENTERTAINMENT, N MY LIFE STYLE

Posted by rizzlelicious - - 0 comments

Hivi huyu mtoto wa artist ELTON JOHN design kama vile anakua na kufika ile stage ya kuongea fresh kabisa,,,akiamkaa asubuhi au akiwa anakwenda maschool hivi harakati ile ya kuondoka lazima wazazi uwaage .kwa utamadunin wa tz unasema BI MKUBWA BDAE,BABA NAKWENDA
SWALI huyu mtoto wa elton atakuwa anatupia swagger za BYE MUM !!!!! au

Leave a Reply